JINSI YA KUTUNZA NGOZI YAKO KWA KUTUMIA LIMAO

Katika makala hii utapata kujua sababu mbalimbali zinazofanya watu kutokuwa na ngozi zisizokubalika. Mbali na hali ya hewa pia matumizi ya pombe, sigara , cream kali ambazo zimekuwa zikitumiwa na watu bila kujua madhara yake kumechangia kwa kiasi kikubwa tatizo hilo.
Ngozi kwa kawaida inatakiwa ijitengeneze yenyewe na si kuitengeneza kwa vipodozi kama wengi wanavyodhani. Ulaji wa matunda na mboga za majani kwa wingi kunywa glasi nane za maji kwa siku ni njia nzuri kama unataka kuwa na ngozi nzuri isiyo na madoa wala ukavu ambao haupendezi.
Wengi wanaacha kula mbogamboga na matunda kwa wingi hata kutokunywa maji ya kutosha na badala yake wamekuwa akitegemea kuwa na ngozi nzuri jambo ambalo ni gumu. Mara kadhaa tumeshuhudia watu wanaopaka cream kali wakiwa kama wameungua usoni huku uso na mwili ukionekana kuwa mkavu
Kuna watu wamekuwa na ngozi za asili na hata unapowauliza baadhi yao hawajawahi kupaka cream hata siku moja na bado wana ngozi nzuri zinazovutia hao wamekuwa wakila kwa ajili ya kuhakikisha wanatengeneza ngozi zao kutoka ndani.
Pia wengi wanaharibu ngozi zao na kuwa na madoa kutokana na kutumia make up kwa muda mrefu  na hata anapogundua kuwa ana tatizo la madoa amekuwa akijaribu kutumia cream nyingine kwa ajili ya kumaliza tatizo hilo jambo ambali linazidisha madhara kwenye ngozi.
Unaweza kutibu ngozi yenye madoa usoni  kwa kutumia limao kwa sababu ile Vitamin C iliyopo katika limao husaidia sana katika kuondoa chunusi kwa haraka.

JINSI YA KUTIBU NGOZI YAKO KWA KUTUMIA LIMAO
unachotakiwa ni kutumia maji ya limao yaliyo fresh na usiyalaze maji hayo kwa matumizi ya baadaye kisha paka sehemu zilizoathirika kila unapolala usiku. Njia hii itasaidia kukausha ngozi yako kutokana na mafuta yanayosababisha uvimbe. Asubuhi unachotakiwa ni kwenda kunawa na maji ya vuguvugu mara kwa mara, pia ijulikane kuwa  njia hii siyo nzuri kwa wale wenye ngozi laini sana.

Comments

  1. Nitajaribu kwa imani

    ReplyDelete
  2. Mi nachukua muda mrefu kumwaga je shida nni

    ReplyDelete
  3. Mimi ngozi yangu nikavu Sana jenifanyeje ili iwe laini

    ReplyDelete
  4. Nilipogundulika kuwa na saratani ya hatua ya 4, nilihisi kukata tamaa kabisa. Madaktari waliniandaa kwa ajili ya hali mbaya zaidi, na nilizidiwa na hofu na kutokuwa na uhakika. Wakati huo mgumu, nilitoa ushuhuda tofauti wa watu, jinsi walivyoponywa kupitia dawa ya mitishamba ya Dr Dawn, na kuwasiliana naye kupitia WhatsApp yake: ( +2349046229159 )

    Aliniahidi kwamba nitakuwa mzima tena ndani ya mwezi 1 baada ya kumuelezea kila kitu, niliagiza dawa ya mitishamba na kufuata maagizo. Leo, ninashukuru sana kwa mahali nilipo. Mungu atukuzwe kwa kunipa nguvu, mwongozo, na uponyaji. Niko huru kabisa na imethibitishwa kimatibabu. Hata mfanyakazi mwenzangu pia aliponywa kupitia dawa ya mitishamba ya Dr DAWN.

    Ikiwa wewe au mtu unayemjua anakabiliwa na ugonjwa mbaya, tafadhali wasiliana na Dr Dawn. Na usipoteze tumaini. Kwa sababu hakika atakuponya

    WhatsApp yake: +2349046229159
    Barua pepe: dawnacuna314@gmail.com

    ReplyDelete
  5. HADITHI nyote! Bado sijui maneno sahihi ya kutoa shukrani zangu kwa Dkt. DAWN formula ya mitishamba...niligunduliwa kuwa na virusi vya UKIMWI kwa miaka 3 iliyopita, nilipewa dawa nyingi za kiafya na ushauri bila uboreshaji wowote, nilipoteza tumaini kabisa, hadi nilipopata ushuhuda mwingi wa jinsi mchanganyiko wa mitishamba wa Daktari DAWN umekuwa ukiokoa maisha katika utafiti wa mtandaoni Kama mtu yeyote angefanya, niliwasiliana naye kwenye WhatsApp. Kwa kifupi.

    Nimefurahi kuponywa kabisa na kuwekwa huru kutokana na virusi hivi.., ninamshauri yeyote anayeishi na virusi vya HEmIV awasiliane na daktari Dawn. leo, acha kufikiria kwa sababu ana tiba ya virusi hivi...

    Herpes.
    Saratani.

    VVU/UKIMWI
    Tahajia/mila na MENGINEYO.
    WhatsApp yake: +2349046229159

    ReplyDelete

Post a Comment

Popular Posts