ZIJUE FAIDA,MADHARA YA KITUNGUU SWAUMU KATIKA MWILI WA BINADAMU


               
MAGONJWA YANAYOTIBIKA KUPITIA KITUNGUU SAUMU
  1. Huyeyusha mafuta mwilini (kolestro)
  2. Husafisha njia ya mkojo na kutibu U.T.I
  3. Hutibu amoeba, minyoo na Bakteria wengine
  4. Huzuia kuhara damu (Dysentery)
  5. Huondoa Gesi tumboni
  6. Hutibu msokoto wa tumbo
  7. Hutibu Typhoid
  8. Huondoa mabaka mabaka kwenye ngozi
  9. Hutibu mafua na malaria
  10. Hutibu kifua kikuu (ukitumia kitunguu swaumu kesho yake unaweza kutokwa na makohozi mengi tu ambayo ni ishara kwamba kweli kinatibu kifua kikuu (TB)
  11. Hutibu kipindupindu
  12. Hutibu upele
  13. Huvunjavunja mawe katika figo
  14. Hutibu mba kichwani
  15. Huupa nguvu ubongo. Kazi nzuri niliyopenda zaidi katika kitunguu swaumu.
  16. Huzuia meno kung’ooka na kutuliza maumivu
  17. Huongeza SANA nguvu za kiume pia hutibu uanithi (kushindwa kusimama kabisa uume)
  18. Hutibu maumivu ya kichwa
  19. Hutibu kizunguzungu
  20. Hutibu shinikizo la juu la damu
  21. Huzuia saratani/kansa
  22. Hutibu maumivu ya jongo/gout
  23. Huuongezea nguvu mfumo wa mmeng’enyo wa chakula
  24. Huongeza hamu ya kula
  25. Huzuia damu kuganda
  26. Husaidia kutibu kisukari
  27. Husaidia kutibu tatizo la kukosa usingizi (ni kweli, na ni moja ya kazi nyingine ya kitunguu swaumu iliyonishangaza zaidi) pia kinaondoa msongo wa mawazo/stress na kukufanya uishi miaka mingi
  28. Huongeza SANA kinga ya mwili na kwa muda mfupi, kijaribu na ulete majibu

FAIDA ZA KITUNGUU SWAUMU KATIKA MWILI WA BINADAMU
  • Vina uwezo wa kusababisha kutanuka kwa mishipa ya damu (vasodilation) kwa kubadilisha polysulfides zilizopo ndani yake kuwa hydrogen sulfides kwenye seli nyekundu za damu.
  • Husaidia uthibiti wa kiwango cha sukari mwilini kwa kushusha kiwango cha kemikali ya homocystine na kupunguza madhara ya kisukari.
  • Iwapo vitapondwa pondwa vizuri, vitunguu swaumu hutoa kemikali iitwayo Allicin ambayo ni dawa dhidi ya bateria, na phytoncide ambayo huua fangasi wa aina mbalimbali.
  • Harufu mbaya ya kitunguuu swaumu hutokana na gesi aina ya hydrogen sulfide ambayo hutolewa baada ya kuvila.







MADHARA YA KITUNGUU SWAUMU SWAUMU KATIKA MWILI WA BINADAMU

  • Harufu mbaya mdomoni ambayo hutokana na kemikali ya AMS (allyl methyl sulfide). Harufu mbaya hii, hata hivyo, yaweza kupunguzwa kwa kunywa maziwa, kunywa maji mengi au kutafuna karafuu. Na nimeshuhudia nikinywa kwenye mtindi hii harufu ni kama haipo kabisa na hata ukijamba haikutokei ile harufu mbaya sana kama ukinywa vitunguu swaumu katika maji
  • Kwa baadhi ya watumiaji, vinaweza kuwaletea mzio au mcharuko mwili (allergies au inflammatory reactions)
  • Kichefuchefu, Kutapika na kuharisha. Ikikutokea kuharisha siku mbili tatu furahi kwani ni njia mojawapo ya mwili kujisafisha
  • Huweza kusababisha hatari ya kuvuja damu, kwa sababu huzuia kazi ya seli sahani (platelets) zenye kusaidia kuganda kwa damu kushindwa kufanya kazi yake vizuri, na hususani kwa mama wajawazito, baada ya upasuaji au mara baada ya kujifungua.
  • Huingiliana katika utendaji kazi wake na dawa kadhaa kama vile warfarin, antiplatelets, saquinavir, dawa za shinikizo la damu kwa ujumla hasa calcium channel blockers, na antibiotiki za jamii ya quinolone kama vile ciproflaxacillin.
  • Aidha, vinaelezwa pia kuwa na madhara kwa wanyama jamii ya paka na mbwa.
Kumbuka:                                                                                                                                  
kitunguu swaumu kinaweza kuwa na faida nyingi zaidi ya hizi lakini bado nakushauri utumie kiasi kidogo (punje 6 tu) kila siku kwa kipindi kirefu wiki 2 au 3 hata mwezi ili uone faida zake zaidi. Ikikutokea tangu umeanza kutumia kitunguu swaumu kichwa kinauma zaidi unaweza kupumzika siku mbili hivi na baadaye unaendelea hivyo hivyo.



Comments

  1. Asante kwa ushauri wenu na pia asante kwa ufafanuzi jinzi inavyo fanya kazi...

    ReplyDelete
    Replies
    1. Je mama anae nyonyesha anaweza tumia

      Delete
    2. Kama unatumia uzazi wa mpango kuna shida endapo utatumia kitunguu swaumu

      Delete
    3. Kivip maana nilitaka kuanza kutumia kitunguu swaumu ila ndio natumia uzazi was mpango

      Delete
    4. Km unatumia uzaz wampango unawez tumia

      Delete
  2. Mm nmetumia nikaanza kuharsha na homa Kali ya mafua

    ReplyDelete
    Replies
    1. Endlea usiache zimekukubali saana.

      Delete
    2. Mara nyingi vinasababisha kuharisha,ila ukizoea itakata

      Delete
    3. Mm kilinisaidia kurudisha nguvu zakiume ninajua jinsi ya kukitumia kutengeneza dawa ya nguvu za kiume simu 0710585898

      Delete
    4. TAPELI WEWE HAKUNA DAWA YA NGUVU ZA KIUME DUNIA NZIMA ZAIDI YA VYAKULA ASILIA NA KUBADILI MTINDO WA MAISHA.....DOKTA AMSHAELEKEZA HAPO NYIE NDIO MATAPELI TUNAOWATAFUTA.

      Delete
  3. Kwakweli kimenisaidia sana kwakweli kunitibiya UTI .ila toka nianze kukitumiya .simsikiya kabisa mtoto akicheza tumboni soo sijuwi kama nivibaya kwa mjamzito kutumiya kutumiya kitungu thaumu ?

    ReplyDelete
    Replies
    1. Naomba nielekeze ndugu natumiaje kwa ajili ya UTI.0657749999

      Delete
    2. Kwa wajawazito haitakiw ukiwa na mimba chin ya miez mi 4... Hivyo wah hospital ukapimwe mapigo ya moyo ya mtoto kama yapo au la

      Delete
  4. Mimi natafuna kila siku pamoja na tangawizi punje 4_6 kipande kimoja cha tangawizi,je kuna madhara nikiendelea hivi kila siku?

    ReplyDelete
  5. Je, vitunguu saumu vinaweza kabisa kuondoa tatizo la uume kutosimama , unakuta mtu huna hisia au unakuta uume umesimama na unapotaka kuanza kufanya unashuka, je hata tatizo kama hili linaweza kuisha kwa vitunguu saumu na inaweza chukua mda Gani? Please naomba msaada wa maelezo yako!

    ReplyDelete
    Replies
    1. Pole sana Ila kwa Utumiaji wangu nakushauri tafuna punje6 kwa siku huku ukitumia juice ya Limao na Asali kila siku uamkapo ndiyo iwe kifungua kinywa chako. Utaona mafanikio ndani ya miezi3. Swala la kutokuwa na Hisia ni swala la Kisaikolojia huenda likawa siyo tatizo sana na pia unaweza ukawa wewe ndiyo Selective katika wanawake kuna kitu hupendi kukiona kwa mwanamke so ukikiona hisia zinaisha. Jichunguze. Ukishindwa nichek Dm Ntakusaidia Bure kabisa Nina uzoefu wa Matatizo ya Wanaume.

      Delete
    2. Mimi ndg Sylvester napenda kujua je kitunguu swaum naweza kumeza au nilazima kutafuna napenda kujua hilo

      Delete
  6. Aisee nimekula kitunguu swaumu siku mbili naona koo lina Ana kikohozi kikavu ni nini tatizo wadau

    ReplyDelete
    Replies
    1. Mwenyewe nimetokewa na hyo hali, lakin mim nlitumia kwa pamoja na tangawizi ,,ukipata suruhisho ,tushirikishane

      Delete
  7. je mjamzito anaruhusiwa kutumia kitunguu swaumu kujibu uti au fan gas?

    ReplyDelete
  8. 0754543195 nahitaji mawasiriano ya doctor

    ReplyDelete
  9. Na tatizo la sukari kushuka.

    Ila nilivosoma hii nakala nilijarbu kutumia kitunguu swaumu Kama punje nane.
    Nilivipondaponda Kisha nikavimeza kwa maji ya uvuguuvugu Kama vijiko vitatu vya sukari.

    Baada ya kumeza tuuh nikasikia kichwa kinagonga ikabidi nijilaze chali. Lakini baada ya dk 10 hivi nikajisikia mwili kulegea nakuishiwa nguvu vikiambatana na njaa Kali wakati nilikua tayari nishakula Kama nusu saa kabla ya kunywa vitunguu swaumu..

    Yani nilijihisi kufakufa hivi duuh.
    Sasa doctor tatizo Ni Nini hapo.. msaada tafadharu

    ReplyDelete
    Replies
    1. Mbon mm nimetumia Leo tu punje 5 mguu unanium wa kulia vinahusiana?

      Delete
  10. nina shida na namba yko dr nitaipataje 0655548002

    ReplyDelete
  11. Unafaha utumie kitungu saumuu na nini ili usaitike upande wa nguvu za kiume ma waitha ??

    ReplyDelete
  12. Nikisaga kitunguu saumu na kuweka kwenye kovu LA muda mrefu, vovu litaisha?

    ReplyDelete
    Replies
    1. Samahan je kitunguu swaumu unatumia kwa kula tu au kupaka usoni kma una chunus na madowa

      Delete
  13. Ahsante kwa Elim nzuri na ufafanuzi wako juu ya dawa hii na jinsi ya kutmia barikiwa sana

    ReplyDelete
  14. Ahsante kwa Elim nzuri na ufafanuzi wako juu ya dawa hii na jinsi ya kutmia barikiwa sana

    ReplyDelete
  15. Je kitunguu hiki baada yakukikatakata vipande vdogo na ukinywa na maji bila kuvitafuna,je inatibu au inakua haijafanya kaz??

    ReplyDelete
  16. Kwan ni lazima kutafuna je ukimeza hiv hiv kizima kitafanya kaz zake kweli?? Au mpaka utafune

    ReplyDelete
    Replies
    1. Tafuna ndg itapendeza zaidi maana ukimeza mmengenyo tumboni unakua mzito

      Delete
  17. Ni lazima kuvitafuna kwani ukimeza inakuaje

    ReplyDelete
  18. Nimetumia lakini nakua naumwa kichwa sanaa

    ReplyDelete
    Replies
    1. Ukiona hivyo una majini..au umefanyiwa uchawi maana kitunguu swaumu na majini au uchawi ni vitu viwili tofauti

      Delete
    2. Yeah kinayaondoa

      Delete
  19. Mimi nazitumia kwa kumeza je zitasaidia

    ReplyDelete
  20. Duh nilikuwa nacheki Kama Kuna madhara ya kutumia maana nimestuka baada ya kutumia Sana.

    ReplyDelete
  21. Je kitunguu saumu kinaweza saidia kuongeza kimo cha uume?

    ReplyDelete
  22. Dr. Toa majibu.... Ni sawa kumeza au kutafuna

    ReplyDelete
  23. kichwa kilikuwaa kinaniumaa Sana nimetafuta punje 3asb na jioni 3 sijasikiaa kichwaa kuniumaa kbsa naninaendelea nacho

    ReplyDelete
  24. Naomba kuuliza je ukishatumia kwa muda huo huwezi kuendelea tena? Pia kwa mimi ninayetumia asbh kabla ya kunywa Chai Kuna madhara gani? Asante Sana

    ReplyDelete
  25. Doctor kwa mama anayenyonyesha hakina madhara?

    ReplyDelete
    Replies
    1. Nahitaji kujua maana mimi natumia maziwa ya mtoto yanakata

      Delete
  26. Mm nimetafuna kitunguu thom kifua kimeniwaka moto baada siku mbii kutumia kifua kimeanza kubana na nimepata shida ya kupumua na nilipokiacha na kunywa maji ya zatar nimeanza kitoa hewa kwa mdomoni (mbweu) je nauliza kitunguu Thom kinatia gas ?

    ReplyDelete
  27. Vitunguu swaumu ni tiba bora kabisa ya asili kwa magonjwa mengi sugu ambayo leo yanasumbua watu wengi. Nathibitisha vimekuwa suluhisho kwangu kwa presha ya kupanda na nguvu za kiume.

    ReplyDelete
  28. Nina mafia malari sana almost mwaka sasa hayaishi na sawa za mafuta zimegoma sijui vitanisaidia

    ReplyDelete
  29. Natumia kwa kukitafuna rakin nikimaliza kinanisababishia kuanzia kifuani hadi tumbon kuwaka moto

    ReplyDelete
    Replies
    1. Únavidónda vya tumbo acha kutafuna

      Delete
  30. Nilikua na dalili za hemoroid au bawasir lkn Kwa kutumia kitunguu swaum haikuweza kuendelea tena

    ReplyDelete
    Replies
    1. Ulifanyaje kwa kumeza na maji au kutafuna au vyovyte??

      Delete
  31. Naomba kuuliza ni sahihi kuponda kitunguu saumi usiku punje 3 na kisha kuziweza kwenye glass ya maji robo mpaka asububi na ndipo unywe kabla hujala kitu chochote? Je nayo kinga ya pressure? Naona ufafanuzi dr. Thanks

    ReplyDelete
  32. Et kinaweza kutibu ovarian cyst?

    ReplyDelete
  33. Asante sana kwa somo lako nimelipenda na huwa napenda kutafuna punje za kitunguu saumu kukichezea chezea mdomon hata nilipolala napenda kiwe mdomon. Lkn tatoka nje kidogo ya mada hii kwa hili: Nina tatizo la kushuka kwa kiwango cha damu mwilini napenda kujua tatizo ni nini na suluhisho ni nini

    ReplyDelete
  34. Nimetua nahisi kuchoka sana mwili inaweza kuwa sababu?

    ReplyDelete
  35. Mimi nilikuwa natokwa uchafu ukeni pia nawashwa nikachukua punje tatu nikaponda nikaweka kwenye kitambaa laini nikaingiza ukeni kwandani nimekaa navyo masaa matatu nikatoabnimefanya ivo siku tatu je nilikuwa sahii kuingiza ukeni

    ReplyDelete
    Replies
    1. Umepona dear nipe feedback na mm nifanye hivyo

      Delete
    2. Mimi nilikuwa na miwasho nikifanya ivo na miwasho ukaisha

      Delete
  36. Ahsante saana kwa ushauri wako doctor kitunguu swaumu ni lazima ukisage na lazima kipondwe ili kikiingia tumboni kiianze moja kwa moja kutibu nimeona matokeo Dr. Mm ni dereva sina mda wa kufanya mazoezi lakini nipo fit saana kimwili na kiakili kwa sababu yote ya hii kitunguu Swaumu yaaan ndio Chakula changu kila siku lazima nisage punje 10 tuu nakuwa Good kila siku. 🙏

    ReplyDelete
    Replies
    1. Samahan naomba kuulza je mama anaenyonyesha anàruhusiwa kutumia kitunguu swaum

      Delete
  37. Swali.kwa mgonjwa wa presha unatumia kitunguu saumu kwamudagani?inasemekana ukitumia kwa muda mrefu husababisha kansa ya utumbo.je kunaukweli kuhusu Hilo?0782355089

    ReplyDelete
  38. Asante sana nimeanza kutumia ila mimi nilikuwa nameza asubuhi tu

    ReplyDelete
  39. Je kitunguu swahum kinatibu PID?

    ReplyDelete
  40. mi nmetumia mwil unakua na nguvu vizur sana

    ReplyDelete
    Replies
    1. Nimeweka kwenye nibu nikaharisha saba je kunatatizo

      Delete
  41. Nashukuru kwa ushauri maana mm mwenyewe kwa wiki natafuna punje mbli au moja
    Kuna madhara

    ReplyDelete
  42. Somo zuri na limeeleweka ahsante mtayarishaji

    ReplyDelete
  43. Jinsi ya kutumia kutibu fangasi ukeni

    ReplyDelete
  44. Mimi hua navimenya afu nameza wakati wa kulala dalili za madonda ya tumbo zimeisha

    ReplyDelete
    Replies
    1. Nauliza,mcharuko wa mwili maana yake Nini

      Delete
  45. Mimi nlitumia lakini nikaanzwa kuumwa na tumbo sai niko na miezi mitatu lauma tu nisaidie nifanyeje

    ReplyDelete
  46. Kichwa kimenisumbua sana lakini nilivyomeza tu kitunguu swaumu jioni kikaacha hadi Sasa nipo vizur

    ReplyDelete
  47. Doctor Mimi nakuliza hivi kabisa nikikula punje sita kwA siku nitapunguza uzito kwA sababu Niko na 95 kilo

    ReplyDelete
  48. Kwa siku nitumieje naomba nielekeze

    ReplyDelete
  49. Somo zuri, kitunguu swaumu kina madhara yoyote??

    ReplyDelete
  50. Dr Mimi ninapotumia kitunguu saumu mwili wangu unaishiwa nguvu na ninakua kama mgonjwa, je Hilo ni tatizo?

    ReplyDelete
  51. Me naomba unielekeze namna ya kutumia kurudisha nguvu za kiume 0764362837

    ReplyDelete
  52. Mimi nimetumia ,baadae najisikia kichefuchefu,kizunguzungu ,tumbo kuunguluma ,mwili kukosa nguvu kwa dakika kadhaà tu baadae nakuwa sawa

    ReplyDelete
  53. Ni kwel vitunguu saumu hutibu fangas Za uken? Na Kama n kwel naomba unielekeze namna ya kutumia

    ReplyDelete
  54. Mbona mm natumia tumbo laju linauma sn badae lachin linafta Sasa sijui ninatatizo

    ReplyDelete
  55. Mimi baada ya kutumia nikipata choo kigumu mpakupelekea kuchanika sehem za hajakubwa je hapo hakunamadhara?

    ReplyDelete
  56. Vitunguu saumu vinaweza saidia kupata mimba

    ReplyDelete
  57. Jaman dr naomba kuuliza kwamba kuwekea kwenye mboga Napo inasaidia tofaut nakutafuna

    ReplyDelete
  58. Je naweka kutangwa na kupachika kitungu saumu ukeni

    ReplyDelete
  59. Nitaanza kutumia kitunguu swaumu je kitanipa mabadiliko doctor

    ReplyDelete
  60. vp kuhusu arufu mbaya mdomoni inayosababishwa na kitunguu swaum je ni arufu kali sana?

    ReplyDelete
  61. Nilikuwa naumwa na kipanda uso kitunguu kilinisaidia lakini kipanda uso kimeludia tena baada ya miaka 2 nimetumia akija nisaidia tena

    ReplyDelete
  62. Mm nikitumia vitunguu swaumu mapigo ya moyo hunienda kasi sana kiasi kwamba nashindwa hata kupumua ,kiufupi napata shida. Je shida itakua ni nini?

    ReplyDelete
  63. Nimetumia kitunguu swaumu kama dawa ya kutibu fangasi ,,sai ni miezi mitatu nimeendesha sijui nitumie dawa gani

    ReplyDelete
  64. Ninapotumia hupatwa na Homa kali hadi Kuna kichwa inauma sana,

    ReplyDelete
  65. ᴀɪsᴇ ᴍɪ ɴᴀᴛᴀᴛɪᴢᴏ ɴᴀᴠᴏғᴀɴʏᴀ ᴍᴀᴘᴇɴᴢɪ ᴛᴜ ɴᴋɪᴍᴡᴀɢᴀ ᴛᴜ ɪɴᴀʟᴀʟᴀ ʜᴀɪᴛᴀᴋɪ ᴛᴇɴᴀ ᴛᴀᴛɪᴢᴏ ɴɪ ɴɪɴ

    ReplyDelete
  66. Doctor Mi Ñiña Matatizo Mengi Naomba Ukipata Ujumbe Huu Ñaomba Msaada Wako Tafadhali Namba Yangu Ya Whatsapp Ni 0744644380

    ReplyDelete
  67. Ee mungu wangu, mm natumia punje zaidi ya 20 ishirini asubuhi mchana na jion kabula ya kula, navitwanga vinarainika hafu nameza vyote kwa jumla kama tonge la ugali bila kutafuna maumivu ninayo yasikia ni Yakama dakika 20 tu, baada ya hapo sisikii chochote, siharishi Wala sioni mabadiliko yoyote, ya kuniadhili lengi kuu ni kuteketeza minyoo aina yote,hii siku ya tatu sasa Toka nianze..

    Pengine naweza kupatwa na madhara zaidi bila mm kujua au hii imekaeje😢

    ReplyDelete
  68. Je kinatibu vidonda vya tumbo au typhoid

    ReplyDelete

Post a Comment

Popular Posts